Hedwig wa Andechs

Hedwig wa Andechs (kwa Kijerumani: Hedwig von Andechs; pia: Hedwig wa Silesia, kwa Kipolandi: Jadwiga Śląska; Andechs, Bavaria, 1174 – Trzebnica Abbey, Silesia, 15 Oktoba 1243) alikuwa mwanamke wa ukoo tawala wa Andechs ambaye, kisha kuolewa, akawa malkia wa Polandi hadi mwaka 1238[2].
Tarehe 26 Machi 1267 Papa Klementi IV alimtangaza mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki tarehe 16 Oktoba[3].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Saint Hedwig of Silesia with Duke Ludwig I of Liegnitz and Brieg and Duchess Agnes", The J. Paul Getty Museum
- ↑ Kirsch, Johann Peter. "St. Hedwig." The Catholic Encyclopedia Vol. 7. New York: Robert Appleton Company, 1910, accessdate=2007-02-18
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |