Nenda kwa yaliyomo

Florido

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Florido (Città di Castello, Umbria, Italia, 520 - Pietralunga, 13 Novemba 599) alikuwa askofu wa mji wake wa asili mwaka kuanzia mwaka 580 hadi kifo chake.

Papa Gregori I aliandika juu yake [1] kuthibitisha alikuwa na imani sahihi na maisha maadilifu sana[2].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 13 Novemba pamoja na ya padri wake Amansi [3].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.