Nenda kwa yaliyomo

Amansi wa Città di Castello

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Amansi wa Città di Castello (aliishi karne ya 6) alikuwa padri wa mji huo chini ya Askofu Florido.

Alikuwa amejaa upendo kwa wagonjwa na maadili mengine yote [1].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 13 Novemba pamoja na ya askofu Florido [2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.