Eneo bunge la Lamu Magharibi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Lamu Magharibi ni moja kati ya Majimbo 290 ya uchaguzi nchini Kenya. Linapatikana katika Kaunti ya Lamu, huku likiwa moja kati ya majimbo mawili ya Uchaguzi katika kaunti hiyo ya pwani. Jimbo hili lina wodi 11, zote zikichagua madiwani kwa baraza la Lamu county.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo la Lamu Magharibi lilianza wakati wa uchaguzi mkuu wa 1966, huku mbunge wake wa kwanza akiwa Abu Somo.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1966 Abu Somo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1969 Abu Somo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1970 Mohamed M. Modhihiri KANU Uchaguzi Mdogo, Mfumo wa Chama Kimoja
1974 Abdillahiman Omar Cheka KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1979 Abdillahiman Omar Cheka KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1983 Omar Twalib Mzee KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1988 Abdul Aziz Bujra KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Abdukarim Mohamed Ali KANU
1997 Fahim Yasin Twaha KANU
2002 Fahim Yasin Twaha KANU
2007 Fahim Yasin Twaha NARC-K

Kata na Wodi[hariri | hariri chanzo]

Kata
Kata Idadi ya Watu*
Baharini 6,380
Dide Waride 3,294
Hindi Magongoni 5,303
Hongwe 6,538
Langoni 8,619
Mapenya 5,334
Matondoni 2,797
Mkomani 6,819
Mkunumbi 1,678
Mokowe 3,121
Mpeketoni 9,977
Ndambwe 505
Shella / Manda 2,386
Witu 3,830
Jumla x
*Hesabu ya 1999.
Wodi
Wodi Wapiga Kura
Waliojiaandikisha
Baharini 2,228
Dide Waride 1,380
Hindi/Magogoni 1,921
Hongwe 2,581
Langoni / Manda / Shella 4,649
Mapenya 1,697
Mkomani / Matondoni 4,780
Mkunumbi 1,606
Mokowe 1,466
Mpeketoni 3,926
Witu 2,783
Jumla 29,017
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]