Hedwig wa Andechs

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Edwiga wa Andechs)
Mt. Hedwig akiwa na wengine, Hedwig Codex, Lubin, 1353 (sasa katika J. Paul Getty Museum, California, Marekani[1])

Hedwig wa Andechs (kwa Kijerumani: Hedwig von Andechs; pia: Hedwig wa Silesia, kwa Kipolandi: Jadwiga Śląska; Andechs, Bavaria, 1174Trzebnica Abbey, Silesia, 15 Oktoba 1243) alikuwa mwanamke wa ukoo tawala wa Andechs ambaye, kisha kuolewa, akawa malkia wa Polandi hadi mwaka 1238[2].

Tarehe 26 Machi 1267 Papa Klementi IV alimtangaza mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki tarehe 16 Oktoba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.