Kipindi cha Kiangazi
Kutoka Wikipedia
Kipindi cha Kiangazi ni moja kati ya misimu minne. Ni kipindi cha joto kali na ukavu kuliko katika misimu hiyo minne ya mwaka. Misimu hii minne inapatikana katika sehemu isiyo na joto sana wala baridi sana.
Kipindi cha Kiangazi hutokea upande wa Kaskazini na Kusini mwa Dunia kwa tofauti ya saa ya mwaka ya Nusudunia ya Kaskazini, Kiangazi uchukua nafasi katika mwezi Juni na Septemba, na Nusudunia ya Kusini uchukua nafasi kati ya mwezi Desemba na Machi. Hii utokana na Nusudunia ya Kaskazini, au sehemu ya Nusudunia, huelekea usawa wa Jua, na Nusudunia ya Kusini yenyewe hutoweka.
| Bubujiko | Baridi | ||
| Misimu | |||
| Kiangazi | Demani | ||

