Yohane Gabrieli Perboyre
Mandhari

Yohane Gabrieli Perboyre, C.M. (Montgesty, Lot, 6 Januari 1802 – Wuchang, Hubei, 11 Septemba 1840) alikuwa padri wa shirika la Vinsenti kutoka Ufaransa aliyefanya umisionari nchini China.
Katika kuhubiri Injili alijilinganisha na desturi za wananchi, lakini dhuluma ilipolipuka aliteswa kwa namna mbalimbali wakati wa kufungwa kwa muda mrefu akauawa huko msalabani kwa ajili ya imani yake ya Kikristo[1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Leo XIII tarehe 10 Novemba 1889, halafu mtakatifu na Papa Yohane Paulo II tarehe 2 Juni 1996[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
- Wafiadini wa China
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/76475
- ↑ Miller, Charles Edward (2004). Mass on Sunday: And Other Ways of Being Catholic. Paulist Press. ku. 45–46. ISBN 0-8091-4237-6.
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 314-315
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 270-271
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
