Tarsisi wa Roma

Tarsisi wa Roma (kwa Kilatini: Tarsicius au Tarcisius; alifariki Roma, Italia, karne ya 3) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa sababu ya imani yake wakati wa kupeleka ekaristi nje ya mahandaki palipofanyika ibada[1] [2].
Anajulikana kutokana na shairi la Papa Damaso I aliyemfananisha na Stefano mfiadini[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Agosti[4].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Kirsch, Johann Peter. "St. Tarcisius." The Catholic Encyclopedia. Vol. 14. New York: Robert Appleton Company, 1912. 25 Apr. 2013
- ↑ [1]
- ↑ When an insane gang pressed saintly Tarsicius, who was carrying the sacraments of Christ, to display them to the profane, he preferred to be killed and give up his life rather than betray to rabid dogs the heavenly body.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Pope Benedict XVI, General Audience, August 4, 2010 Archived 13 Septemba 2019 at the Wayback Machine.
- True Stories for First Communicants, Neumann Press, (1919)
- San Tarsicio
- San Tarcisio
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |