Tarsisi wa Roma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Tarsisi, kazi ya Alexandre Falguière (1868).

Tarsisi wa Roma (kwa Kilatini: Tarsicius au Tarcisius; alifariki Roma, Italia, karne ya 3) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa sababu ya imani yake wakati wa kupeleka ekaristi nje ya katakombu palipofanyika ibada[1] [2].

Anajulikana kutokana na shairi la Papa Damaso I aliyemfananisha na Stefano mfiadini[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Agosti[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Kirsch, Johann Peter. "St. Tarcisius." The Catholic Encyclopedia. Vol. 14. New York: Robert Appleton Company, 1912. 25 Apr. 2013
  2. [1]
  3. When an insane gang pressed saintly Tarsicius, who was carrying the sacraments of Christ, to display them to the profane, he preferred to be killed and give up his life rather than betray to rabid dogs the heavenly body.
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.