Sava wa Serbia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sava wa Serbia (kwa Kiserbokroatia: Свети Сава / Sveti Sava; jina la awali: Растко Немањић/Rastko Nemanjić; 117414 Januari 1236), alikuwa mwana wa ukoo wa kitemi nchini Serbia ambaye alijifanya mmonaki katika Mlima Athos, akawa askofu mkuu wa kwanza wa Kanisa la Kiorthodoksi la Serbia (1219), mtunzi wa sheria za Serbia (Zakonopravilo), na mwanadiplomasia.

Kwa kufanya hivyo aliipatia nchi yake uhuru wa kisiasa na wa Kikanisa. Ndiyo maana anahesabiwa kati ya watu muhimu zaidi wa historia ya Serbia.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

     .
  • Marković, Miodrag. "The first journey of St. Sava of Serbia to Palestine". Zograf 29.
  • Miljković, Bojan (2015). "Sava, Stefan Radoslav and Demetrios Chomatenos". Zbornik radova Vizantološkog instituta 52. doi:10.2298/ZRVI1552259M
     .
     .

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Christian cross.svg Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.