Romano wa Roma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Romano wa Roma (alifariki Roma, Italia, 9 Agosti 258) alikuwa askari, labda kutoka Corsica (leo nchini Ufaransa) aliyeongokea Ukristo akishuhudia kifodini cha shemasi Laurenti alipouawa kwa kubanikwa kutokana na imani yake katika Yesu.

Romano alipoungama imani hiyohiyo alikatwa kichwa[1].

Anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali ya Ukristo kama mtakatifu mfiadini, hasa siku ya kifodini chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.