Oswadi wa York

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Oswadi pamoja na Eadnoth katika mchoro mdogo.

Oswadi wa York (alifariki 29 Februari 992) alikuwa mmonaki kwanza kanoni, baadaye aliyepata kuwa askofu wa Worcester kuanzia mwaka 971 halafu wa York nchini Uingereza kuanzia mwaka 972 hadi kifo chake.

Msomi mfurahivu na mpole, alichangia urekebisho wa Kanisa na wa umonaki kwa kuingiza kanuni ya Mt. Benedikto katika monasteri mengi.

Alifariki wakati wa kuwaosha miguu maskini kama ilivyokuwa kawaida yake wakati wa Kwaresima.

Tangu kale Paulinus anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1][2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum
  2. Walsh New Dictionary of Saints p. 459

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.