Onufri mkaapweke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Onufri.

Onufri mkaapweke (pia "Nofer"; kwa Kigiriki Ὀνούφριος, labda kutoka Kimisri "Unnufer", yaani "Mwenye furaha daima"[1]) aliishi miaka sitini au sabini jangwani katika Misri Kusini katika karne ya 4 au ya 5 bila kuonekana na mtu, kiasi kwamba hakuvaa nguo yoyote.

Habari zake zimesimuliwa na Pafnusi wa Tebe, ambaye peke yake alifaulu kumuona mwishoni mwa maisha yake na kumzika.[2]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Juni[3][4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Gardiner, Alan H. (1936). "The Egyptian Origin of Some English Personal Names". Journal of the American Oriental Society (American Oriental Society) 56 (2): 189–97. ISSN 0003-0279. JSTOR 594666. doi:10.2307/594666 – via JSTOR. (registration required (help)). 
  2. Peter W. Parshall; Rainer Schoch, National Gallery of Art (U.S.); Origins of European Printmaking (Yale University Press, 2005), 318.
  3. Martyrologium Romanum
  4. https://catholicsaints.info/saint-onuphrius/

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Alban Butler, Paul Burns; Butler’s Lives of the Saints (Continuum International Publishing Group, 2000)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.