Kimisri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kimisri kilivyoandikwa.

Kimisri ni lugha ya kale ya Misri. Kiliandikwa kwa kutumia hiroglifi.

Kilipoendelea kikaja kuwa lugha ya liturujia ya Kanisa la Misri ambayo inatumika hata leo katika ibada, ila si katika maisha.