Nuno Alvares

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Nuno alivyochorwa mwaka 1554.

Nuno Alvares, O.Carm. (Cernache do Bonjardim, 24 Julai 1360 - Lisbon, 1 Aprili 1431) alikuwa mtawala wa maeneo mbalimbali ya Ureno na amirijeshi wa nchi kupigania uhuru hadi ushindi.

Alipofiwa mke wake (1423) alijiunga na jumuia ya Wakarmeli alipoishi kitakatifu hadi kifo chake[1].

Papa Benedikto XV alimtangaza rasmi mwenye heri tarehe 23 Januari 1918, halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 26 Aprili 2009[2].Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Novemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.