Nronga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nronga ni kijiji cha kata ya Machame Magharibi katika Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania Kaskazini Mashariki.

Huko mwandishi Elieshi Lema alizaliwa mwaka 1949.

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nronga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Isipokuwa usitaje majina ya viongozi waliopo sasa maana wanabadilika haraka mno.