Machame Magharibi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Machame Magharibi ni kata ya Wilaya ya Hai katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 4,827 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,503 [2] walioishi humo.

Msimbo wa posta ni 25308.

Kati ya vijiji vya Machame Magharibi kuna kijiji cha Nronga ambako mwandishi Elieshi Lema alizaliwa mwaka 1949.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Hai - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania

Bomang'ombe | Bondeni | KIA | Machame Kaskazini | Machame Magharibi | Machame Mashariki | Machame Narumu | Machame Uroki | Masama Kati | Masama Kusini | Masama Magharibi | Masama Mashariki | Masama Rundugai | Mnadani | Muungano | Romu | Weruweru


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Machame Magharibi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Isipokuwa usitaje majina ya viongozi waliopo sasa maana wanabadilika haraka mno.