Elieshi Lema
Mandhari
| Elieshi Lema | |
#WPWP #WPWPARK | |
| Amezaliwa | 1949 Nkoranga |
|---|---|
| Nchi | Tanzania |
| Kazi yake | Mwandishi wa lugha ya Kiswahili na Kiingereza |
Elieshi Lema (alizaliwa Nronga, Tanzania, 1949) ni mwanamke mwandishi wa lugha za Kiingereza na Kiswahili kutoka Tanzania.[1]
Lema alianza kama mwandishi na mtunzi wa mashairi] na baadaye kuwa mwandishi wa vitabu vya watoto katika lugha ya Kiswahili kabla ya kuandika riwaya yake ya kwanza ya Parched Earth katika Kiingereza mwaka 2001. Kitabu hicho kimetafsiriwa katika lugha ya Kiswidi na Kifaransa.
Lema ni mmiliki wa kampuni ya uchapishaji ya House E&D Vision Publishing[2], lakini pia ni muendeshaji wa book café. E&D Vision Publishing imekuwa ikichapisha vitabu vya watoto katika lugha za Kiswahili na Kiingereza. Mwaka 1998 ilichapisha kitabu kuhusu Dinosaria wa Tendaguru.
Tuzo
[hariri | hariri chanzo]- Noma , 2001 - Parched Earth (kutaja)
Machapisho
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://sanaa-central.spla.pro/en/file.person.elieshi-lema.37070.html#
- ↑ "E&D Vision – E&D Vision Publishing" (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-27. Iliwekwa mnamo 2020-02-10.
{{cite web}}: More than one of|accessdate=na|access-date=specified (help)
| Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Afrika bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Elieshi Lema kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |