Maria Ana wa Yesu
Jump to navigation
Jump to search

Mchoro wa Francisco Sylverio de Sotomayor (karne ya 18) kuhusu Mariana de Jesús, Azucena de Quito, Heroina Nacional y Virgen Penitente.
Maria Ana wa Yesu (jina kamili la Kihispania ni Mariana de Jesús Paredes y Flores) alizaliwa Quito (Ekwador) tarehe 31 Oktoba 1618 akafariki huko tarehe 26 Mei 1645.
Bikira huyo wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu tangu tarehe 4 Juni 1950, alipotangazwa na Papa Pius XII. Kabla yake, Papa Pius IX alikuwa amemtangaza mwenye heri tarehe 20 Novemba 1853.
Ni mtu wa kwanza kutoka Ekwador, na Mfransisko wa kwanza kutoka Amerika Kusini kutangazwa mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 26 Mei[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Mary Anne de Paredes|work=Catholic Encyclopedia
- Mary Ann of Jesus of Paredes |work=American Catholic
- GENEALOGÍA. Orígenes familiares de Santa Mariana de Jesús y descendencia de sus hermanos en la base de datos para Ecuador de Mauricio Alvarado-Dávila.
- Nota biográfica por Gustavo Amigó Jansen
- Poema que le dedicó Hernando de la Cruz Archived Septemba 27, 2007 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |