Maria Ana wa Yesu
Mandhari

Maria Ana wa Yesu (jina kamili la Kihispania ni Mariana de Jesús Paredes y Flores; Quito, Ekwador, 31 Oktoba 1618 - Quito, 26 Mei 1645, alikuwa bikira wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko aliyejitoa kwa Kristo na kuhudumia Waindio na watu kutoka Afrika fukara [1].
Papa Pius IX alimtangaza mwenye heri tarehe 20 Novemba 1853. Papa Pius XII akamtangaza mtakatifu tarehe 4 Juni 1950[2], akiwa mtu wa kwanza kutoka Ekwador, na Mfransisko wa kwanza kutoka Amerika Kusini kutangazwa mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/90387
- ↑ Sehemu ya hotuba yake siku hiyo imetafsiriwa kwa Kiswahili katika Sala ya Kanisa ya Ki-fransisko - Benedictine Publications Ndanda - Peramiho, 1996, uk. 142-143.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- GENEALOGÍA. Orígenes familiares de Santa Mariana de Jesús y descendencia de sus hermanos en la base de datos para Ecuador de Mauricio Alvarado-Dávila.
- Nota biográfica por Gustavo Amigó Jansen
- Poema que le dedicó Hernando de la Cruz Ilihifadhiwa 27 Septemba 2007 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |