Majadiliano ya mtumiaji:Peasant2020

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

--Jadnapac (majadiliano) 16:45, 18 Julai 2021 (UTC)[jibu]

Pitia Mkala[hariri chanzo]

Salamu, kabla ya kuchapisha makala ni bora zaidi kuihakiki kabla ya kuichapisha na kama ikitokea umeichapisha na ikawa ina makosa basi ni heri zaidi kuirekebisha kabla ya kuendelea na makala nyingine, katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Lulwa_Al_Awadhi umeacha maandishi ya kiingereza na kisha kuichapisha, pia, jaribu kupitia makala ambazo zimeandikwa tayari ili kuona ni namna gani makala zinaandikwa, amani sana Idd ninga (majadiliano)

Bahati nzuri umekwisha mwambia -- Olimasy (majadiliano)

Ndugu nimepitia makala kadhaa ulizoanzisha. Ninakuzuia sasa kwa sababu zifuatazo: Tangu 23 Julai umeombwa kutunga makala zako kwa umakini zaidi na kurekebisha makosa. Naona sasa umeendelea bila kujali ombi hili. Makala nilizoangalia zinajaa kasoro nzito, Kiswahili kibaya. Horrea Coelia, Sousse, Henchir-Tebel, Henchir-Sidi-Salah umepanga katika bila kutaja habari yoyote inayohusu akiolojia. Unaonekana kwamba unataka kupakua makala nyingi iwezekanavyo kwa jina lako bila kujali maudhui yake. Umemwaga matokeo ya google translate bila kusoma wala kusahihisha matokeo yake Joub_Jannine, Henchir-El-Dukhla na mengine, ilhali unajua hii ni marufuku hapa na matokeo yake ni mara kwa mara Kiswahili kisichoeleweka. Pia hujaangalia kama fomati ya makala inalingana na utaratibu wetu. Ninakuzuia sasa. Unaweza kulalamika kwenye ukurasa wa jamii. Nitaondoa zuio kama unajibu kwenye ukurasa wangu wamajadiliano na kueleza kwamba uko tayari kupitia makala zako na kuondoa makosa na kasoro. Kipala (majadiliano) 19:19, 30 Julai 2021 (UTC)[jibu]