Sousse

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tunisia, Sousse - mandhari
Msikiti Mkuu wa Sousah
Lango la Bandari El Kantaoui
Bendera ya jumuia ya Sousse
Eneo bunge Sousse
Chuo Kikuu cha Sousse, Tunisia

Sousse au Soussa (kwa Kiarabu: سوسة, kwa Kiberber: Susa) ni mji wa Tunisia, makao makuu ya Wilaya ya Sousse. Iko kilomita 140 (87 mi) kusini mwa mji mkuu Tunis. Mji una wakazi 271,428 (2014).

Sousse iko katikati-mashariki mwa nchi, kwenye Ghuba ya Hammamet, ambayo ni sehemu ya Bahari ya Mediteranea.

Uchumi wake unategemea vifaa vya usafirishaji, chakula kilichosindikwa, mafuta ya mizeituni, nguo, na utalii. Ni nyumbani kwa Chuo Kikuu cha Sousse. [1][2][3]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sousse kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.