95,462
edits
(kurahsisha kiogo) |
No edit summary |
||
'''Lahaja''' ni vilugha vidogovidogo vya [[lugha]] [[moja]] ambavyo hubainishwa na [[jamii]] au [[jiografia]].
'''Lahaja''' ni vilugha vidogovidogo vya lugha moja ambavyo hubainika kijamii au kijiografia. Lahaja za lugha moja zatofautiana katika matamshi, miundo ya [[sarufi]] na [[msamiati]]. Kama lugha hutofautiana katika matamshi tu, tofauti hizo huitwa [[lafudhi]] na siyo lahaja. Uchambuzi na uchanganuzi wa lahaja ni tawi la [[isimujamii]].▼
Lahaja za lugha moja zinatofautiana katika [[matamshi]], miundo ya [[sarufi]] na [[msamiati]].
▲
Lahaja hutofautishwa kulingana na vipengele vifuatavyo:
# vipengele vya eneo
Mfano wa lugha yenye lahaja mbalimbali ni [[Kiingereza]] na lahaja zake zinavyozungumzwa tofauti [[Uingereza]], [[Marekani]], [[Uhindi]], [[Australia]] na maeneo mengine.
Tena, lahaja za [[Kiswahili]] hutofautishwa kulingana na maeneo yake kama [[Kiamu]] ([[Kisiwa|kisiwani]] [[Lamu]]), [[Kimvita]] ([[Mji|mjini]] [[Mombasa]]), [[Kiunguja]] (kisiwani [[Zanzibar]], [[Kingazija]] (visiwani kwa [[Komoro]]) na kadhalika.
== Marejeo ==
|