Lugha za Kisemiti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d robot Adding: cv, gl, lt, nds
Mstari 26: Mstari 26:
[[ca:Llengües semítiques]]
[[ca:Llengües semítiques]]
[[cs:Semitské jazyky]]
[[cs:Semitské jazyky]]
[[cv:Семит чĕлхисем]]
[[da:Semitiske sprog]]
[[da:Semitiske sprog]]
[[de:Semitische Sprachen]]
[[de:Semitische Sprachen]]
Mstari 35: Mstari 36:
[[fi:Seemiläiset kielet]]
[[fi:Seemiläiset kielet]]
[[fr:Langue sémitique]]
[[fr:Langue sémitique]]
[[gl:Linguas semíticas]]
[[he:שפות שמיות]]
[[he:שפות שמיות]]
[[ia:Linguas semitic]]
[[ia:Linguas semitic]]
Mstari 43: Mstari 45:
[[ku:Şemî]]
[[ku:Şemî]]
[[kw:Yethow Semitek]]
[[kw:Yethow Semitek]]
[[lt:Semitų kalbos]]
[[ms:Bahasa Semitik]]
[[ms:Bahasa Semitik]]
[[nds:Semitsche Spraken]]
[[nl:Semitische talen]]
[[nl:Semitische talen]]
[[nn:Semittiske språk]]
[[nn:Semittiske språk]]

Pitio la 09:34, 24 Novemba 2007

Maneneo penye wasemaji wengi wa lugha za Kisemiti

Lugha za Kisemiti ni kundi ya lugha zinazozungumzwa na watu milioni 300 katika Asia ya Magharibi, Afrika ya Kaskazini na Afrika ya Mashariki. Zahesabiwa kama tawi la lugha za Kiafrika-Kiasia.

Lugha za Kisemiti leo

Lugha yenye wasemaji wengi ni Kiarabu. Wasemaji wengine wako hasa Ethiopia na Eritrea halafu Israel. Lugha hai za kisemiti ni pamoja na:

Lugha za kihistoria

Kuna idadi kubwa ya lugha za Kisemiti zinazojulikana kama lugha za kihistoria zisizo na wasemaji tena. Kati ya lugha hizi ni lugha za Babeli, Ashur, Kanaan, Moabu na kwa jumla lugha za mataifa mengi zinazotajwa katika Biblia.