Bendera ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: gl:Bandeira da República Democrática do Congo |
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: mr:काँगोच्या लोकशाही प्रजासत्ताकाचा ध्वज |
||
Mstari 54: | Mstari 54: | ||
[[lv:Kongo Demokrātiskās Republikas karogs]] |
[[lv:Kongo Demokrātiskās Republikas karogs]] |
||
[[mk:Знаме на Демократската Република Конго]] |
[[mk:Знаме на Демократската Република Конго]] |
||
[[mr:काँगोच्या लोकशाही प्रजासत्ताकाचा ध्वज]] |
|||
[[nl:Vlag van Congo-Kinshasa]] |
[[nl:Vlag van Congo-Kinshasa]] |
||
[[no:Den demokratiske republikken Kongos flagg]] |
[[no:Den demokratiske republikken Kongos flagg]] |
Pitio la 07:35, 5 Septemba 2012
Bendera ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imepatikana tangu Februari 2006 kutokana na katiba mpya ya nchi. Katiba iliazimia kurudi kwa mfano wa bendera iliyowahi kutumiwa kati ya 1963 na 1971 kabla ya nchi haijaitwa "Zaire". Buluu yake imebadilishwa kuwa buluu ya angani sawa na bendera ya uhuru ya mwaka 1960.
Buluu ya bendera inakatwa na mlia wa hanamu mwenye rangi za nyekundu na dhahabu. Nyekundu ilimaanisha damu ya mateso chini ya ukoloni na mapabano kwa ajili ya uhuru. Dhahabu ilikumbusha juu ya utajiri wa nchi. Nyota ya rangi dhahabu iko kwenye pembe la juu jinsi ilivyokuwa katika bendera za Kongo tangu ukoloni.
-
Bendera ya miaka 1997-2006
-
Bendera ya Zaire (1971-1997)
-
Bendera ya serikali ya Mobutu 1963-1971
-
Bendera ya uhuru 1960-1963