Lugha za Kisemiti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: dsb:Semitiske rěcy
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza arc:ܠܫܢܐ ܫܝܡܝܐ
Mstari 23: Mstari 23:
[[an:Luengas semiticas]]
[[an:Luengas semiticas]]
[[ar:لغات سامية]]
[[ar:لغات سامية]]
[[arc:ܠܫܢܐ ܫܝܡܝܐ]]
[[arz:لغات ساميه]]
[[arz:لغات ساميه]]
[[bg:Семитски езици]]
[[bg:Семитски езици]]

Pitio la 10:49, 16 Aprili 2012

Maneneo penye wasemaji wengi wa lugha za Kisemiti

Lugha za Kisemiti ni kundi la lugha zinazozungumzwa na watu milioni 300 hivi katika Asia ya Magharibi, Afrika ya Kaskazini na Afrika ya Mashariki. Zinahesabiwa kama tawi la lugha za Kiafrika-Kiasia.

Lugha za Kisemiti leo

Lugha yenye wasemaji wengi ni Kiarabu. Wasemaji wengine wengi ni wale wanaotumia lugha za Ethiopia na Eritrea halafu Israel. Lugha hai za kisemiti ni pamoja na:

Lugha za kihistoria

Kuna idadi kubwa ya lugha za Kisemiti zinazojulikana kama lugha za kihistoria zisizo na wasemaji tena. Kati ya lugha hizi ni lugha za Babeli, Ashur, Kanaan, Moabu, Finisia na kwa jumla lugha za mataifa mengi zinazotajwa katika Biblia.