Adalbert wa Magdeburg : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Rescuing 2 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Adalbert of Magdeburg.jpg|200px|thumb|Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg]]
[[Image:Adalbert of Magdeburg.jpg|200px|thumb|Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg]]
'''Adalbert wa Magdeburg''' (alifariki [[20 Juni]], [[981]]) alikuwa [[mmisionari]] na [[askofu mkuu]] wa kwanza wa [[mji]] wa [[Magdeburg]], [[Ujerumani]].


Tangu kale ametambuliwa kuwa [[mtakatifu]].
'''Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg''' (na '''Adalbert wa Magdeburg''') (alifariki tarehe [[20 Juni]], [[981]]) alikuwa [[mmisionari]] na [[askofu mkuu]] wa kwanza wa [[mji]] wa [[Magdeburg]], [[Ujerumani]].


[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[20 Juni]].
Ametambuliwa kuwa [[mtakatifu]].

[[Sikukuu]] yake ni tarehe [[20 Juni]].


==Maisha==
==Maisha==
Mstari 35: Mstari 34:
* [http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=1113 http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=1113]
* [http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=1113 http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=1113]
* [http://www.highbeam.com/doc/1O100-AdalbertofMagdeburg.html http://www.highbeam.com/doc/1O100-AdalbertofMagdeburg.html] {{Wayback|url=http://www.highbeam.com/doc/1O100-AdalbertofMagdeburg.html |date=20080821191240 }}
* [http://www.highbeam.com/doc/1O100-AdalbertofMagdeburg.html http://www.highbeam.com/doc/1O100-AdalbertofMagdeburg.html] {{Wayback|url=http://www.highbeam.com/doc/1O100-AdalbertofMagdeburg.html |date=20080821191240 }}
{{mbegu-Mkristo}}

[[Category:Watakatifu wa Ujerumani]]
[[Category:Waliofariki 981]]
[[Category:Waliofariki 981]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Category:Watakatifu wa Ujerumani]]

{{mbegu-Mkristo}}

Pitio la 13:32, 1 Februari 2021

Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg

Adalbert wa Magdeburg (alifariki 20 Juni, 981) alikuwa mmisionari na askofu mkuu wa kwanza wa mji wa Magdeburg, Ujerumani.

Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 20 Juni.

Maisha

Adalbert alizaliwa Ujerumani na kuwa mtawa katika monasteri ya Wabenedikto wa mji wa Trier.

Baada ya kuwekwa wakfu kama askofu, mwaka 961 alitumwa mjini Kiev (Ukraine) kama mmisionari.

Kundi lake lote liliuawa, naye peke yake aliweza kurudi Ujerumani.

Baadaye aliteuliwa kuwa askofu mkuu wa dayosisi ya Magdeburg.

Alianzisha madayosisi mapya mengi upande wa Mashariki wa Ujerumani, kama katika miji ya Naumburg, Meisen, Merseburg, Brandenburg, Havelberg, na Poznan.

Mwanafunzi wake mmoja aliyetangazwa kuwa mtakatifu kama yeye ni Adalbert wa Praha.

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.