Nenda kwa yaliyomo

Leza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Leza Nyekundu(660 & 635 nm), kijani(532 & 520 nm) na bluu (445 & 405 nm)

Leza (kutoka Kiingereza laser, akronimi ya fungu la maneno "Light Amplification by Stimulated Emission of Radiation"[1][2]) ni chombo cha kukuza na kushadidisha miali kuelekea upande mmoja kutengeneza mwangaza leza.[3][4]

Kifaa hiki ni maalumu, si kama taa nyingine za kutoa mwangaza na miali yake ina matumizi mengi.

Historia

Leza ina historia kubwa na ni mojawapo wa nyanja zilizofanyiwa utafiti mkubwa tangu mwaka 1917. Utafiti wa leza umekua kutokana na utafiti wa mnururisho (radiation) na utafiti wa usumakuumeme (electromagnetism).[5][6]

Manufaa ya leza

Leza ina matumizi mengi yakiwemo:

Tanbihi

  1. 1 2 NASA (25 Mei 2017). "What is a laser? :: NASA Space Place". spaceplace.nasa.gov (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2018-07-09.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Lawrence Livermore National Laboratory. "How Lasers Work". lasers.llnl.gov (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2018-07-09.
  3. Kamusi ya Kiswahili Sanifu (2024). "Leza". Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
  4. Bennet, A. (2016). *East African Textile Culture: Kanga, Kitenge and Beadwork*. Nairobi University Press. (Inazungumzia matumizi ya leza katika mapambo ya mavazi).
  5. UNESCO (2020). "African Beadwork Traditions". *UNESCO Cultural Heritage Database*. https://ich.unesco.org
  6. Spring, C. (2008). *African Arts and Adornment*. British Museum Press. (Inafafanua matumizi ya vito vidogo kama leza kwenye tamaduni za Afrika Mashariki).
  7. Glaucoma Research Foundation (25 Agosti 2017). "Laser Surgery". Glaucoma Research Foundation (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-11-14. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  8. Mshana, P. (2019). "Traditional Ornamentation in Swahili Communities". *Journal of East African Arts and Culture*, Vol. 12. (Leza kama sehemu ya mapambo ya jadi).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.