Karoli wa Mlima Argus
Mandhari

Karoli wa Mlima Argus, C.P. (jina la kuzaliwa: Joannes Andreas Houben; Munstergeleen, Limburg, Uholanzi, 11 Desemba 1821 – Harold's Cross, Dublin, Ireland, 5 Januari 1893) alikuwa padri Mpasionisti aliyefanya kazi huko Ireland.
Alipata sifa kubwa kutokana na huruma yake kwa wagonjwa[1][2] na wale waliohitaji ushauri nasaha, hasa katika kitubio[3].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 16 Oktoba 1988, na Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 3 Juni 2007.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].

Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ His reputation for healings and miracles was so great at the time that a reference is made to him in the famous novel Ulysses by James Joyce.
- ↑ Nolan, Anne (Summer 1992). "Father Charles of Mount Argus, 1821-1893". James Joyce Quarterly. 29 (No. 4): 841–845. JSTOR 25485327.
{{cite journal}}:|number=has extra text (help)CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Charles of Mount Argus at Catholic Forum
- Biography of Fr. Charles of St. Andrew (1821–1893)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |