Kaniko abati
Kaniko abati (pia: Cainnech, Kenneth au Kenny; Kinnaght, 525 hivi – Ossory, 600 hivi) alikuwa mmonaki padri kutoka Ireland, maarufu kwa kuanzisha monasteri nyingi na kueneza Ukristo wa Kiselti katika sehemu mbalimbali za visiwa vya Britania, akifanya umisionari[1] pamoja na kushika kanuni kali ya kitawa[2][3].
Aliandika kitabu cha ufafanuzi wa Injili[4].
Anahesabiwa kati ya Mitume kumi na wawili wa Ireland.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Oktoba[5].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "St. Canice", Catholic Online
- ↑ Grattan-Flood, William. "The Twelve Apostles of Erin." The Catholic Encyclopedia. Vol. 1. New York: Robert Appleton Company, 1907. 10 Feb. 2013
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92832
- ↑ O'Kane, Michael. "St. Canice." The Catholic Encyclopedia. Vol. 3. New York: Robert Appleton Company, 1908. 10 Feb. 2013
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Clyn, Friar John (2007), Williams, Bernadette, ed., The Annals of Ireland, Four Courts Press, ISBN 978-1-84682-034-2.
- Adamnan, Life of Saint Columba, archived from the original on 2011-06-29, retrieved 2020-10-10.
- McNeill, ed. (1931), Liber primus Kilkenniensis.
- Codex Salmanticensis.
- O'Donovan, John (1839), Ordnance Survey Letters.
- Ulster (1957), The Annals of Ulster.
- Graves, Rev. James (1857), The History, Architecture, and Antiquities of the Cathedral Church of St. Canice, Kilkenny, Grafton Street, Dublin.: Hodges, Smith, & co., p. 22.
- John, Lanigan (1829), An ecclesiastical history of Ireland, from the first introduction of Christianity to the beginning of the thirteenth century, Oxford University: J. Cumming.
- Walsh, Thomas (1854), History of the Irish Hierarchy: With the Monasteries of Each County, Biographical Notices of the Irish Saints, Prelates, and Religious, New York Public Library: D. & J. Sadlier & co..
- Lanigan, John (1829), An Ecclesiastical History of Ireland, from the First Introduction of Christianity Among the Irish, to the Beginning of the Thirteenth Century: Compiled from the Works of the Most Esteemed Authors ... who Have Written and Published on Matters Connected with the Irish Church; and from Irish Annals ..., Harvard University: D. & J. Sadlier & co..
- Smith, William (1877), A Dictionary of Christian Biography, Literature, Sects and Doctrines A to D Part One, Harvard University: Kessinger Publishing (published 2004), p. 476, ISBN 1-4179-4801-9.
Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]
- Baring-Gould, S, "S. Cainnech", The Lives of the British Saints;The Saints of Wales, Cornwall and Irish Saints, V2, (1908), Kessinger Publishing, ISBN 0-7661-8765-9 (2005).
- O'Donovan, John, The Banquet of Dun Na N-Gedh and The Battle of Magh Rath, For the Irish Archaeological Society, (1842) ISBN 978-0-7661-8765-8.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- A hymn to Columcille attributed to Cainnech, original Irish text from Rawlinson B 505 at Thesaurus Linguae Hibernicae
- A poem in praise of Cainnech attributed to Columcille, original Irish text from Royal Irish Academy MS 23 N 10 at Thesaurus Linguae Hibernicae
- Omnium Sanctorum Hiberniae; Saint Canice of Kilkenny, October 11:
- Catholic Forum
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |