Kachuo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kachuo ni kitongoji kilichopo katika kijiji cha Nyamatongo, kata ya Kamanga, wilaya ya Sengerema, mkoa wa Mwanza.

Wakazi wake ni mchanganyiko wa Wasukuma, Wasumbwa, Wazinza na makabila mengineyo yanayolizunguka Ziwa Nyanza (Viktoria).

Katika kitongoji hicho wakazi wanajihusisha]] na shughuli za uvuvi, kilimo, ufugaji na biashara.

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mwanza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kachuo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.