Eneo bunge la Rarieda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eneo bunge la Rarieda ni mojawapo ya majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya majimbo mawili ya Kaunti ya Siaya. Eneo lote la Jimbo hili liko chini ya baraza la Bondo County.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilibuniwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1988.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988 Bob Francis Jalang’o KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Achieng Oneko Ford-Kenya
1997 George Odeny Ngure NDP
2002 Raphael Tuju NARC
2007 Nicholas Gumbo ODM

Wodi[hariri | hariri chanzo]

Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojisajili
Central Asembo 7,480
East Asembo 6,378
Madiany East 10,372
Madiany West 11,038
Rarieda West 8,403
Jumla 43,671
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]