Eneo bunge la Karachuonyo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eneo bunge la Karachuonyo ni moja kati ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hilo linapatikana katika kaunti ya Homa Bay na ni moja ya Majimbo nane ya Uchaguzi katika kaunti hiyo.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1963.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1963 Elijah Omolo Agar KANU
1969 David Okiki Amayo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1974 David Okiki Amayo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1979 Phoeba Muga Asiyo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1983 Phoeba Muga Asiyo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1988 David Okiki Amayo KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Phoeba Muga Asiyo Ford-Kenya
1997 Peter Adhu Awiti NDP
2002 Peter Adhu Awiti NARC
2007 James Kwanya Rege ODM

Wodi[hariri | hariri chanzo]

Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojiandikisha Utawala wa Mitaa
Central Karachuonyo 3,847 Rachuonyo County
Gendia / Awach 3,331 Kendu Bay (mji)
Kumba / Jieri 4,121 Kendu Bay (mji)
Kanyaluo 6,371 Rachuonyo County
Kibiri 6,205 Rachuonyo County
North West Karachuonyo 8,076 Rachuonyo County
Rambira 2,283 Kendu Bay (mji)
Simbi / Kogembo 3,282 Kendu Bay (mji)
Wang'chieng / Karabondi 7,905 Rachuonyo County
West Karachuonyo 7,053
Jumla 52,474
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]