Ipasi wa Bitinia
Mandhari
Ipasi wa Bitinia (kwa Kigiriki: ‘Υπατος, Hypatos; 366 - 446) alikuwa mkaapweke mwenye kujinyima na kufunga sana kisha kukataa maelekezo ya baba yake mwanafasihi, labda kutoka Frigia, na kushika maisha magumu ya kitawa.
Halafu akawa abati wa monasteri aliyoijenga upya huko Kalsedonia, leo nchini Uturuki, ambapo alilea wafuasi wake katika nidhamu kamili ya kimonaki na walei katika uchaji wa Mungu.
Alipinga mafundisho ya patriarki Nestori.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu[1].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |