Hedwiga wa Poland

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Malkia Hedwiga leo anaheshimiwa kama mtakatifu.
Ngao yake.
Vazi maalumu la ibada la Jadwiga.

Hedwiga (kwa Kijerumani Hedwig, kwa Kipolandi Jadwiga, linatamkwa jadˈviɡa) aliishi tangu mwaka 1373/1374 hadi 17 Julai 1399).

Kuanzia mwaka 1384 hadi kifo chake alitawala nchi ya Poland akiitwa 'mfalme' badala ya 'malkia', ili kusisitiza kwamba hakuwa tu mke wa mtawala halisi[1].

Alizaliwa katika ukoo wa Wakapeti wa Anjou, binti wa mwisho wa mfalme Luis I wa Hungaria na Elizabeti wa Bosnia.[2].

Tangu zamani anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu na msimamizi wa kila malkia. Papa Yohane Paulo II ndiye aliyemtangaza rasmi mwenye heri tarehe 8 Agosti 1986 na mtakatifu tarehe 8 Juni 1997.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyofariki dunia[3].

Picha[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Hedvigis Rex Polonie: M. Barański, S. Ciara, M. Kunicki-Goldfinger, Poczet królów i książąt polskich, Warszawa 1997, also Teresa Dunin-Wąsowicz, Dwie Jadwigi (The Two Hedwigs) Archived 9 Februari 2012 at the Wayback Machine.
  2. Norman Davies (2005). Jadwiga (chapter Jogalia). God's Playground: A History of Poland in Two Volumes, Volume 1 94-96. Oxford University Press. Iliwekwa mnamo 10 Aprili 2012.
  3. Martyrologium Romanum
  4. Psałterz floriański. Jalada kutoka ya awali juu ya 2009-05-10. Iliwekwa mnamo 2011-11-16.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.