Hedwiga wa Poland


Hedwiga (kwa Kijerumani Hedwig, kwa Kipolandi Jadwiga, linatamkwa jadˈviɡa) aliishi tangu mwaka 1373/1374 hadi 17 Julai 1399).
Kuanzia mwaka 1384 hadi kifo chake alitawala nchi ya Poland akiitwa 'mfalme' badala ya 'malkia', ili kusisitiza kwamba hakuwa tu mke wa mtawala halisi[1].
Alizaliwa katika ukoo wa Wakapeti wa Anjou, binti wa mwisho wa mfalme Luis I wa Hungaria na Elizabeti wa Bosnia.[2].
Tangu zamani anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu na msimamizi wa kila malkia. Papa Yohane Paulo II ndiye aliyemtangaza rasmi mwenye heri tarehe 8 Agosti 1986 na mtakatifu tarehe 8 Juni 1997.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyofariki dunia[3].
Picha[hariri | hariri chanzo]
-
The restoration of the Kraków Academy by Queen Jadwiga.
-
Queen Jadwiga's Cup from the Wawel Cathedral.
-
Seal of the Jadwiga of Poland
-
Jadwiga and Jagiełło (Jogaila) Monument in Kraków Planty Park.
-
A later portrait of Jadwiga by Antoni Piotrowski.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Hedvigis Rex Polonie: M. Barański, S. Ciara, M. Kunicki-Goldfinger, Poczet królów i książąt polskich, Warszawa 1997, also Teresa Dunin-Wąsowicz, Dwie Jadwigi (The Two Hedwigs) Archived 9 Februari 2012 at the Wayback Machine.
- ↑ Norman Davies (2005). Jadwiga (chapter Jogalia). God's Playground: A History of Poland in Two Volumes, Volume 1 94-96. Oxford University Press. Iliwekwa mnamo 10 Aprili 2012.
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Psałterz floriański. Jalada kutoka ya awali juu ya 2009-05-10. Iliwekwa mnamo 2011-11-16.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Heinze, Karl (8 Desemba 2003). Baltic Sagas. Virtualbookworm Publishing. ISBN 1-58939-498-4.
- Lukowski, Jerzy; Hubert Zawadzki (20 Septemba 2001). A Concise History of Poland. Cambridge University Press. ISBN 0-521-55917-0.
- Turnbull, Stephen; Richard Hook (30 Mei 2003). Tannenberg 1410. Osprey Publishing. ISBN 1-84176-561-9.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |