Gongo la Mboto
![]() |
Makala hii kuhusu "Gongo la Mboto" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |
Gongo la Mboto ni kata ya Ilala katika jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania. Postikodi yake ni namba 12110 [1]. Wakati wa sensa ya 2012 ilikuwa na wakazi 57,312.[2]
Gongo la Mboto iko takriban kilomita 17 kutoka kitovu cha jiji kwa kufuata Barabara ya Julius K. Nyerere na kupita uwanja wa ndege. Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala kinapatikana hapa.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Gongo la Mboto kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |
![]() |
Kata za Wilaya ya Ilala - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Buguruni •Chanika • Gerezani • Gongo la Mboto • Ilala • Jangwani • Kariakoo • Kimanga • Kinyerezi • Kipawa • Kisutu • Kitunda • Kivukoni • Kiwalani • Majohe • Mchafukoge • Mchikichini • Msongola • Pugu • Segerea • Tabata • Ukonga • Upanga Magharibi • Upanga Mashariki • Vingunguti |