Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Kwanza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Kwanza ni mojawapo ya Majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya Majimbo matano katika Kaunti ya Trans-Nzoia. Jimbo hili lina wodi saba, kila moja ikichagua madiwani kwa baraza la Kaunti.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988Noah WekesaKANUMfumo wa Chama Kimoja
1992George KaptenFord-K
1997George KaptenFord-KKapten aliaga dunia mnamo Desemba 1999, ikipelekea Uchaguzi Mdogo [2]
2000Noah WekesaFord-K
2002Noah WekesaNARC
2007Noah WekesaPNU
Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojiandikisha
Chepchoina8,871
Endebess8,610
Kaibei7,346
Kaisagat7,123
Kapomboi11,944
Kapsitwet6,791
Kwanza9,336
Total60,021
*Septemba 2005 [3].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007 Ilihifadhiwa 28 Februari 2008 kwenye Wayback Machine.
  2. Daily Nation, 17 Aprili 2000: Kanu loss in by-election more than a triumph for opposition party
  3. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency