Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Funyula

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Funyula ni mojawapo ya Majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika kaunti ya Busia, miongoni mwa majimbo saba ya kaunti hiyo.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1997. Aliyekuwa Makamu wa Rais Moody Awori alikuwa akiliwakilisha jimbo hili. Kabla ya kuanzishwa kwa jimbo hili aliwahi kuwakilisha majimbo ya Uchaguzi ya Busia Kusini na Samia.[1].

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1997Moody AworiKANU
2002Moody AworiNARC
2007Paul OtuomaODM
Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojisajili Utawala wa Mitaa
Bwiri5,552Busia county
Funyula North9,056Busia county
Funyula South9,207Busia county
Namboboto3,381Funyula (Mji)
Nangina2,220Funyula (Mji)
Odiado1,044Funyula (Mji)
Wakhungu1,493Funyula (Mji)
Jumla31,953
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]