Elizabeti wa Ureno
Mandhari





Elizabeti wa Ureno (anayejulikana pia kama Isabela Perez au Isabela wa Aragona; Saragoza, Hispania, 4 Januari 1271 - Estremoz, Ureno, 4 Julai 1336) alikuwa malkia wa nchi hiyo (1282-1325) kabla hajaanzisha jumuia ya kimonaki ya Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko karibu na monasteri ya Waklara.
Aling'aa kwa juhudi za kuleta upatanisho kati ya wafalme na kusaidia maskini akafariki wakati wa kushughulikia amani kati ya mwanae na mkwe wake[1]
Alitangazwa na Papa Urban VIII kuwa mtakatifu tarehe 25 Mei 1625.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 231-232
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 486-487
Marejeo ya lugha nyingine
[hariri | hariri chanzo]- Ferreira, João (2010), Histórias Rocambolescas da História de Portugal (tol. la 6), Lisbon, Portugal: A Esfera dos Livros, ISBN 978-989-626-216-7
{{citation}}: Unknown parameter|trans_title=ignored (|trans-title=suggested) (help) - Hoever, Hugo, mhr. (1955), Lives of the Saints, For Every Day of the Year, New York, New York: Catholic Book Publishing Co., uk. 511
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- "Saint Elizabeth, Queen of Portugal", Butler's Lives of the Saints
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
