Elizabeti wa Ureno





Elizabeti wa Ureno (anayejulikana pia kama Isabela Perez au Isabela wa Aragona; Saragoza, Hispania, 4 Januari 1271 - Estremoz, Ureno, 4 Julai 1336) alikuwa malkia wa nchi hiyo (1282-1325) kabla hajaanzisha jumuia ya kitawa ya Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko karibu na monasteri ya Waklara.
Alitangazwa na Papa Urban VIII kuwa mtakatifu tarehe 25 Mei 1625.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Ferreira, João (2010), Histórias Rocambolescas da História de Portugal [Fantastic Stories of the History of Portugal] (6 ed.), Lisbon, Portugal: A Esfera dos Livros, ISBN 978-989-626-216-7
- Hoever, Hugo, ed. (1955), Lives of the Saints, For Every Day of the Year, New York, New York: Catholic Book Publishing Co., p. 511
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- "Saint Elizabeth, Queen of Portugal", Butler's Lives of the Saints
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |