Diego wa Alkala
Mandhari
(Elekezwa kutoka Didakus wa Alkala)


Diego wa Alkala, O.F.M. (San Nicolás del Puerto, Sevilia, Hispania, 1400 hivi - Alcalá de Henares, Hispania, 12 Novemba 1463) alikuwa bruda wa shirika la Ndugu Wadogo aliyeng'aa kwa upendo kwa wagonjwa[1].
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Alitangazwa kuwa hivyo na Papa Sixtus V mwaka 1588.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 12 Novemba[2].
Maisha
[hariri | hariri chanzo]Alifanya kazi ya umisionari katika visiwa vya Kanaria (karibu na pwani ya Moroko).
Alipohiji Roma kwa Jubilei alijitosa kuhudumia waliopatwa na tauni.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- Sala ya Kanisa ya Ki-fransisko - Benedictine Publications Ndanda - Peramiho, 1996, uk. 417-420
- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 403-404
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 556-557
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Catholic Encyclopedia: St. Didacus
- Catholic-Forum.com: Saint Didacus Ilihifadhiwa 21 Februari 2007 kwenye Wayback Machine.
- abcgallery.com: Bartolomé Esteban Murillo's La Cuisine des Anges Ilihifadhiwa 19 Aprili 2012 kwenye Wayback Machine.
- abcgallery.com: Bartolomé Esteban Murillo's St. Diego Giving Alms Ilihifadhiwa 11 Oktoba 2012 kwenye Wayback Machine.
- Franciscan Order
- Cofradia Semana Santa San Nicolas del Puerto, Seville Ilihifadhiwa 4 Machi 2012 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |