Deogratias wa Karthago
Mandhari
Deogratias wa Karthago[1][2] alikuwa askofu wa mji huo (katika Tunisia ya leo) katika miaka 454 - 457[3].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[4] .
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Januari[5] au 22 Machi[6][7][8].
Maisha
[hariri | hariri chanzo]Inawezekana ni mtu yuleyule aliyetajwa mara nne na Augustino wa Hippo katika maandishi yake kama shemasi Deogratias halafu kama padri Deogratias[9].
Kutokana na dhuluma za Wavandali[10], kabla yake jimbo la Karthago lilikaa bila askofu miaka 14 tangu alipofariki Quodvultdeus na baada yake kwa miaka 23 tena hadi alipoteuliwa Eugenius wa Karthago[11][12][13]..
Deogratias aliuza vitu vyote vya thamani vya Kanisa ili kukomboa waliokuwa wametekwa na Wavandali kama watumwa mjini Roma akawalaza na kuwalisha katika mabasilika mawili.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Jr, Rev John Trigilio; Brighenti, Rev Kenneth (2010-01-06). Saints For Dummies (kwa Kiingereza). John Wiley & Sons. ISBN 9780470606919.
- ↑ "African saints: St Deogratias of Carthage". The mouth of a labyrinth (kwa American English). 2013-03-22. Iliwekwa mnamo 2017-09-28.
- ↑ Watkins, Basil (2015-11-19). The Book of Saints: A Comprehensive Biographical Dictionary (kwa Kiingereza). Bloomsbury Publishing. ISBN 9780567664150.
- ↑ "Mar 22 - St Deogratias (d. 457) - Catholicireland.net". Catholicireland.net (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2018-11-11.
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Butler, Alban (1815). The Lives of the Fathers, Martyrs, and Other Principal Saints: Compiled from Original Monuments and Other Authentic Records, Illustrated with the Remarks of Judicious Modern Critics and Historians (kwa Kiingereza). J. Murphy.
- ↑ Online, Catholic. "St. Deogratius - Saints & Angels - Catholic Online". Catholic Online (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2017-09-28.
- ↑ "Saint Deogratias, Bishop of Carthage, Confessor. March 22. Rev. Alban Butler. 1866. Volume III: March. The Lives of the Saints". www.bartleby.com. Iliwekwa mnamo 2017-09-28.
- ↑ Mandouze, Prosopographie de l'Afrique chrétienne, p. 272.
- ↑ "Feast of St. Deogratias (March 22)". SUNDRY THOUGHTS (kwa American English). 2011-01-24. Iliwekwa mnamo 2017-09-28.
- ↑ "St. Deogratias | SUNDRY THOUGHTS". neatnik2009.wordpress.com (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-09-28. Iliwekwa mnamo 2017-09-28.
{{cite web}}: More than one of|accessdate=na|access-date=specified (help) - ↑ "Mar 22 - St Deogratias (d. 457) - Catholicireland.net". Catholicireland.net (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2017-09-28.
- ↑ "Holy Spirit Interactive: Catholic Saints - St. Deogratias". www.holyspiritinteractive.net. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-09-28. Iliwekwa mnamo 2017-09-28.
{{cite web}}: More than one of|accessdate=na|access-date=specified (help)
Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 100
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 84-85
Marejeo ya lugha nyingine
[hariri | hariri chanzo]- (Kifaransa) Joseph Mesnage, L'Afrique chrétienne, Paris 1912, pp. 5-6
- (Kilatini) Stefano Antonio Morcelli, Africa christiana, vol. I, Brescia 1816, p. 54
- (Kifaransa) Anatole Toulotte, Géographie de l'Afrique chrétienne. Proconsulaire, Rennes-Paris 1892, pp. 89-90
- (Kifaransa) André Mandouze, Prosopographie chrétienne du Bas-Empire, 1. Prosopographie de l'Afrique chrétienne (303-533), Paris, Éditions du Centre National de la Recherche Scientifique, 1982, pp. 271-273
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |