Eugenius wa Karthago
Mandhari

Eugenius wa Karthago (alifariki 13 Julai 505) alikuwa Mkristo aliyechaguliwa kwa kauli moja kuwa askofu wa mji huo mwaka 480 baada ya Deogratias wa Karthago (aliyefariki 456).
Ilimbidi atetee imani sahihi kwa kupambane na Uario, ulioungwa mkono na mfalme wa Wavandali. Alifaulu kuwavuta baadhi yao katika Kanisa Katoliki na kwa sababu hiyo alifukuzwa akaishi uhamishoni katika jangwa la Libia [1].
Halafu aliruhusiwa kurudi, lakini miaka minane baadaye akafukuzwa tena ahamie Vienne, karibu na Albi (leo nchini Ufaransa). Huko alijenga monasteri aliposhika maisha ya toba hadi kifo chake[2].
Kutokana na imani na maadili yake, tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu na babu wa Kanisa.
Maandishi
[hariri | hariri chanzo]- Expositio Fidei Catholicae
- Apologeticus pro Fide
- Altercatio cum Arianis.[4]
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
- Mababu wa Kanisa
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ On setting out he wrote a letter of consolation and exhortation to the faithful of Carthage which is still extant in the works of St. Gregory of Tours (P.L., LVII, 769-71)
- ↑ http://catholicsaints.info/saint-eugene-of-carthage/
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Cain, Andrew. “Miracles, Martyrs, and Arians: Gregory of Tours' Sources for His Account of the Vandal Kingdom.” Vigiliae Christianae, vol. 59, no. 4, 2005, pp. 412–437. JSTOR website Retrieved 13 July 2019.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- "Eugenius of Carthage". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. 1913.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |