Betrandi wa Comminges

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Betrandi alivyochorwa kaburini pake.

Betrandi wa Comminges (L'Isle-Jourdain, Ufaransa, 1050 hivi – Lugdunum Convenarum[1], Ufaransa, 1126) alikuwa kanoni Mwaugustino, halafu kwa karibu miaka 50[2] askofu wa Lugdunum Convenarum, akifufua na kurekebisha jimbo hilo[3].

Papa Honori III alimtangaza mwenye heri mwaka 1220/1222, halafu Papa Klementi V alimfanya mtakatifu mwaka 1309.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Oktoba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Rafael Lazcano, Episcopologio agustiniano. Agustiniana, Guadarrama (Madrid), 2014, vol. II, 2024-2063. [Life, works, studies, iconography and wegraphy).

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.