Aurea wa Ostia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kanisa kuu la jimbo la Ostia lina jina la huyo "msichana wa dhahabu" (ndiyo maana yake).

Aurea wa Ostia (alifariki Ostia[1], Roma) ni kati ya Wakristo wa Italia waliouawa kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya Dola la Roma dhidi yao[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Mei[4]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Church of Sant'Aurea". Ostia-Antica.org. Iliwekwa mnamo March 15, 2011.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. http://www.santibeati.it/dettaglio/54110
  3. "St. Patrick Catholic Church Saint of the Day". St. Patrick Catholic Church. Iliwekwa mnamo March 3, 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.