Athanasi wa Mlima Athos

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Athanasi.

Athanasi wa Mlima Athos (Trabzon, leo nchini Uturuki, 920 hivi - Mlima Athos, Ugiriki, 1003 hivi) alikuwa Mkristo mpole na mnyenyekevu, baada ya kuwa mwalimu, akawa mmonaki ambaye alianzisha monasteri maarufu katika rasi ya Mlima Athos[1], ambayo ikawa muhimu kuliko zote za Kanisa la Kiorthodoksi hata leo [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 5 Julai[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/60800
  2. Donald Nicol, Βιογραφικό Λεξικό της Βυζαντινής Αυτοκρατορίας,μτφρ.Ευγένιος Πιερρής, εκδ.Ελληνική Ευρωεκοδοτική, Αθήνα, 1993, σελ.38
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.