Asia ya Kati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 02:22, 11 Januari 2014 na EmausBot (majadiliano | michango) (Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:Q27275)
Asia ya Kati

Asia ya Kati ni eneo kubwa katikati ya bara la Asia. Kuna maelezo yanayotofautiana kati yao kuhusu eneo lenyewe.

Nchi zilizokuwa jamhuri za Umoja wa Kisovyeti

Mara nyingi nchi zifuatazo huhesabiwa humo:

Zote zilikuwa jamhuri za Umoja wa Kisovyeti.

Elezo la UNESCO

UNESCO imeongeza pamoja na nchi tano hizo nchi zifuatazo:

Turkestan

Kihistoria eneo hili limeitwa mara nyingi kwa jina "Turkestan" kwa sababu ilikaliwa au inakaliwa hadi leo na watu wanaotumia lugha za Kiturki.

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Asia ya Kati kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.