Anyesi wa Montepulciano
Mandhari

Anyesi wa Montepulciano (Montepulciano, Toscana, Italia, 28 Januari 1268 - Montepulciano, 20 Aprili 1317) alikuwa bikira wa ukoo bora aliyejiweka wakfu akiwa na umri wa miaka 9. Alikuwa na vipaji na karama za pekee kiasi kwamba akiwa na umri wa miaka 15 tu alichaguliwa na kuthibitishwa kuwa abesi katika monasteri mpya ya Kifransisko.
Baadaye alikubali kurudi kwao alipoanzisha nyingine aliyoiunganisha na familia ya kiroho iliyoanzishwa na Dominiko Guzman ambaye alikuwa amemtokea kwa ajili hiyo[1][2].
Anyesi alitangazwa na Papa Benedikto XIII kuwa mtakatifu mwaka 1726[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://web.archive.org/web/20130527061628/http://www.op.org/en/content/st-agnes-montepulciano
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/50150
- ↑ Tiepolo, Giovanni Battista; veneziano, Museo del Settecento; N.Y.), Metropolitan Museum of Art (New York; York, N. Y. ) Metropolitan Museum of Art (New (1996). Giambattista Tiepolo, 1696-1770 : [Venice, Museum of Ca' Rezzonico, from September 5 to December 9, 1996] : The Metropolitan Museum of Art, New York, [from January 24 to April 27, 1997] (kwa Kiingereza). Metropolitan Museum of Art. uk. 222. ISBN 978-0-87099-812-6.
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 140
Marejeo ya Kiitalia
[hariri | hariri chanzo]- Raimondo wa Capua, Sant'Agnese da Montepulciano, Cantagalli, Siena 1983.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]
Fitzgerald, Edward Gregory (1907). . Catholic Encyclopedia. Juz. la 1. New York: Robert Appleton Company.- Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN|0-14-051312-4.
- "Saint Agnes of Montepulciano" at the Christian Iconography website
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
