Alfonso wa Orozco

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtakatifu Alfonso.

Alfonso wa Orozco, O.S.A. (Oropesa, Toledo, Hispania, 17 Oktoba 1500 - Madrid, Hispania, 19 Septemba 1591) alikuwa padri wa shirika la Waaugustino aliyepata umaarufu kwa mahubiri yake na kwa maisha ya kiroho.

Papa Leo XIII alimtangaza mwenye heri tarehe 15 Januari 1882, halafu Papa Yohane Paulo II akamtangaza mtakatifu tarehe 19 Mei 2002[1].

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

      .

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]