Toledo, Ohio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Toledo)
Mji wa Toledo, Ohio






Toledo

Bendera
Toledo is located in Marekani
Toledo
Toledo

Mahali pa mji wa Toledo katika Marekani

Majiranukta: 41°39′56″N 83°34′31″W / 41.66556°N 83.57528°W / 41.66556; -83.57528
Nchi Marekani
Jimbo Ohio
Wilaya Lucas
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 316,851
Tovuti:  www.ci.toledo.oh.us
Toledo, Ohio

Toledo ni mji wa Marekani katika jimbo la Ohio. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao 650,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 187 kutoka juu ya usawa wa bahari.


Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Toledo, Ohio kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.