Adriano wa Nikomedia

Sanamu ya Mt. Adriano nchini Ufaransa.
Adriano wa Nikomedia (aliuawa tarehe 4 Machi 306)[1] alikuwa mkuu wa walinzi wa kaisari Galerius[1].
Alipokuwa na umri wa miaka 28, aliongokea Ukristo pamoja na mke wake Natalia[2], ilimbidi Adriano afie dini hiyo katika mji Nikomedia,[1][3] leo nchini Uturuki.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake huadhimishwa na Waorthodoksi katika tarehe tofauti; kwa Wakatoliki ni tarehe 8 Septemba.[4]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ 1.0 1.1 1.2 Kirsch, J.P. (1910). "Hadrian". The Catholic Encyclopedia. 7. Robert Appleton Company. http://www.newadvent.org/cathen/07105a.htm. Retrieved 2007-12-29.
- ↑ "St. Natalia, Martyr", Antiochian Orthodox Christian Archdiocese
- ↑ Jones, Terry. Adrian of Nicomedia. Patron Saints Index. Jalada kutoka ya awali juu ya 1 January 2008. Iliwekwa mnamo 2007-12-29.
- ↑ Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001, ISBN|88-209-7210-7)
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Attwater, Donald and Catherine Rachel John (1993). The Penguin Dictionary of Saints, 3rd, New York: Penguin Books. ISBN 0-14-051312-4.
- (1908) "S. Adrian", Saints and Their Symbols: A Companion in the Churches and Picture Galleries of Europe, 32. OCLC 16907745.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |