Pafo

Majiranukta: 34°46′N 32°25′E / 34.767°N 32.417°E / 34.767; 32.417
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Nguzo ya Mtume Paulo huko Pafo.

Pafo (kwa Kigiriki cha zamani: Πάφος [ˈpafos]; kwa Kituruki: Baf) ulikuwa mji mkuu wa kisiwa cha Cyprus wakati wa Dola la Roma. Kwa sasa ni makao makuu ya wilaya ya Pafo.

Pafo ilifikiwa na wamisionari Mtume Paulo na Barnaba mwaka 45 hivi (Mdo 13:4-12). Katika nafasi hiyo, liwali Sergius Paulus aliongokea Ukristo.

Mji huo umeorodheshwa na UNESCO kati ya mahali pa Urithi wa Dunia.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]


Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

34°46′N 32°25′E / 34.767°N 32.417°E / 34.767; 32.417

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.