Kilikia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kilikia katika Anatolia wakati wa Ugiriki wa Kale na Roma ya Kale.

Kilikia ni eneo la kusini mashariki mwa rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki).

Kadiri ya Agano Jipya, Mtume Paulo alizaliwa huko, katika mji mkuu, Tarso.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]